.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 12 Agosti 2015

SERIKALI YA MEXICO YAPIGA MARUFUKU HOSPITALI KUTOA MAZIWA YA KOPO

Serikali ya Mexico imepiga marufuku utoaji wa maziwa ya kopo ya bure kwa watoto wachanga hospitalini ili kuhamasisha wakina mama kunyonyesha watoto maziwa ya mama.

Wizata ya Afya ya nchi hiyo imesema kuanzia sasa maziwa ya watoto ya kopo yatapatikana kwenye maduka na yatanunuliwa pale tu ambapo kutakuwa na maelezo ya daktari.

Serikali imesema inataka kuhamasisha unyonyeshaji maziwa ya mama, ambapo takwimu zinaonyesha Mexico ina kiwango kidogo mno cha unyonyeshaji katika mataifa ya Latini Amerika.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni