.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 8 Oktoba 2015

HATUA YA KUJIHUSISHA KIJESHI NCHI YA URUSI KATIKA NCHI YA SYRIA KUJADILIWA NA NATO

Hatua ya kujihusisha kijeshi nchi ya Urusi katika nchi ya Syria inatarajiwa kuwa ni moja ya agenda kuu wakati mawaziri wa ulinzi wa Nato wanapokutana Jijini Brussels nchini Ubelgiji.

Mkutano huo umeitishwa baada ya Uturuki ambayo ni mjumbe wa Nato kulalamika kuwa ndege za Urusi zimekuwa zikikiuka sheria mara kwa mara kwa kukatiza katika anga yake.

Urusi imekuwa ikilalamikiwa kwa kuwashambulia pia waasi wa Syria wanaoungwa mkono na Marekani na washirika wake badala ya kuwashambulia wapiganaji wa Dola ya Kiislam (IS).

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni