.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 8 Oktoba 2015

WATU 13 WAMERIPOTIWA KUUWAWA KWA MASHAMBULIZI YA ANGA YALIYOLENGA HARUSI

Watu 13 wameripotiwa kuuwawa kwa mashambulizi ya anga yaliyolenga harusi katika eneo linaloshikiliwa na waaasi nchini Yemen.

Kwa mujibu wa mashuhuda shambulio hilo limetokea eneo la Sanban kilomita 100 kusini mashariki mwa Jiji Kuu la Sanaa.

Haikufahamika wazi nani haswa anahusika na shambulio hilo, ingawa vikosi vinavyoongozwa na Saudi Arabia vimekuwa vikifanya mashambulizi ya anga dhidi ya waasi wa Houthi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni