.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 4 Desemba 2015

POLISI ASIMULIA JINSI ALIVYOLIKUTA ENEO LA TUKIO LA MAUAJI CALIFORNIA

Mmoja wa polisi aliyeshiriki katika kudhibiti tukio la mashambulizi katika eneo la mikusanyiko kwa ajili ya sherehe za kijamii Jijini California nchini Marekani ameelezea hali aliyoikuta ilikuwa haielezeki.

Polisi huyo Luteni Mike Madden amesema yeye pamoja na maafisa wengine walipofika katika tukio hilo walikuta miili ya watu waliokufa na waliwapita watu waliojeruhiwa wakati wakikabiliana na wavamizi wenye silaha waliouwa watu 14 na kuwajeruhi 24.

Luteni Madden amesema kuwa watu hao ambao ni mtu na mkewe waliwafyatulia risasi na kuwauwa watu 14 na kuwajeruhi wengine 21 katika mji wa San Bernardino siku ya jumatano. Washambuliaji hao Syed Rizwan Farook, 28, na Tashfeen Malik, 27, nao wameuwawa katika tukio hilo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni