.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 3 Februari 2016

KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

1
Mwenyekiti wa Bunge Mhe.Andrew Chenge pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi Utumishi na utawala Bora Mhe.Angellina Kairuki wakiwasili katika viwanja vua Bunge kwa ajili ya kushiriki kikao cha 7 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
2
Mwenyekiti wa Bunge Mhe.Andrew Chenge akiwasili katika ukumbi wa Bunge tayari kwa kuongoza kikao cha 7 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
4
Mwenyekiti wa Bunge Mhe.Andrew Chenge akiongoza sala kwa ajili ya Bunge na Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kikao cha 7 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
5
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge Kazi, Vijana na Ajira Mhe Anthony Mavunde akijibu hoja toka kwa Wabunge mbalimbali katika kikao cha 7 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma
6
Waziri wa Nchi Ofisi Utumishi na utawala Bora Mhe.Angellina Kairuki akijibu hoja toka kwa Wabunge mbalimbali katika kikao cha 7 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma
7
Wairi wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga taifa Mhe dkt Hussein Mwinyi akiteta jambo na Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe William Lukuvi katika kikao cha 7 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma
8
Waziri wa Ujenzi,uchukuzi na Mawasiliano Mhe.prof Makame Mbalawa akijibu hoja toka kwa Wabunge mbalimbali katika kikao cha 7 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma
9
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe.George Masaju akijibu hoja toka kwa Wabunge mbalimbali katika kikao cha 7 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma. Picha na Raymond Mushumbusi MAELEZO

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni