.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 23 Mei 2016

LOUIS VAN GAAL ATIMULIWA RASMI MANCHESTER UNITED

Hatimaye Manchester United imemtimua kocha wake, Louis van Gaal ikiwa ni siku mbili tu tangu aiongoze timu hiyo kutwaa kombe la FA mbele ya Crystal Palace. 

Muholanzi huyo hakuwa na msimu mzuri katika ligi kuu ya England hali iliyo wafanya wamiliki kumuondoa. 

Kuondoka kwa Van Gaal sasa ni wazi kwamba Mreno mwenye mafanikio makubwa Jose Mourinho atakabidhiwa mikoba ya kuinoa timu hiyo muda wowote toka sasa.
                  Naelekea Old Trafford. Kocha Jose Mourinho akiwa katika gari

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni