.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 23 Mei 2016

WATU 78 WAUWAWA KWA MILIPUKO YA MABOMU SYRIA

Mabomu yameuwa watu wapatao 78 katika matukio ya mashambulizi ya mfululizo kwenye ngome kuu za serikali ya Syria, Pwani ya Mediterranean.

Pia kituo cha basi na hospitali ni miongoni mwa maeneo yaliyoshambuliwa kwa mabomu mengine manne kwenye mji wa Jableh kaskazini mwa Syria.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni