.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 24 Mei 2016

MVUA YALETA FARAJA BAADA YA JOTO KALI NCHINI INDIA

Mvua imeanza kunyesha katika Jiji la Delhi nchini India na kutoa ahueni kwa taifa hilo lililokabiliwa na joto kali.

Taifa hilo limeshuhudia kiwango cha juu kabisa cha joto cha nyuzi joto 51 na kuweka rekodi duniani.
     Watu wakifurahia ujio wa mvua mitaani Jijini Delhi, baada ya kuteseka na joto kali 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni