.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 24 Mei 2016

VOLKANO YAUWA WATU SABA NA KUFUNIKA VIJIJI KWA MAJIVU INDONESIA

Majivu mazito yamefunika vijiji kadhaa nchini Indonesia baada ya kulipuka kwa Volkano kwenye Mlima Sinabung katika kisiwa cha Sumatra.

Watu wapatao saba wamekufa baada ya majivu ya moto na gesi kuzingira shamba lao karibu na mlima huo jumapili. Waokoaji bado wanatafuta manusura.
                         Majivu yakiwa yamefunika maaneo mengi kama inavyoonekana
    Wanakikiji wakiwa wamerejea katika makazi yao kuokoa vitu vyao baada ya Volkano kusimama kwa muda

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni