.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 24 Mei 2016

WAZAZI WA JAMIE VARDY WASUSA KUHUDHURIA HARUSI YAKE KESHO

Mcheza soka wa Uingereza Jamie Vardy anatarajiwa kumuoa mchumba wake kwa harusi ya kifahari itakayofanyika hapo kesho.

Kwenye harusi ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29, mpambe wa kiume atakuwa David Nugent, katika harusi hiyo itakayofanyika Peckforton Castle, huko Cheshire.

Hata hivyo harusi hiyo haitohudhuriwa na mama yake mzazi pamoja na baba wa kambo ambao hawamkubali mkwe wao huyo mtarajiwa Becky Nicholson.
  Jamie Vardy akiwa ameshikilia kombe la Ligi Kuu ya Uingereza akiwa na mchumba wake
                           Baba wa kambo wa Jamie Vardy, Phil hatohudhuria harusi

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni