.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 31 Mei 2016

WAZAZI WA MTOTO ALIYETUMBUKIA KATIKA BANDA LA SOKWE MTU HAWA HAPA


Hawa ndio wazazi wa mtoto aliyetumbukia ndani ya banda la Sokwe Mtu huko Cincinnati Marekani na kusababisha kuuwawa kwa risasi mnyama huyo mwenye umri wa miaka 17 aitwae Harambe ili kuokoa masha ya mtoto.

Mama wa mtoto huyo wa miaka minne ni Michelle Gregg, 32, ambaye mzazi mwenzake ni Deonne Dickerson, 36, ambaye imeelezwa anarekodi mbaya ya uhalifu kuanzia wa kusafirisha dawa za kulevya, utekaji na ukorofi.
                   Sokwe Mtu huyo akiwa na mtoto wa miaka minne kabla ya kuuwawa
 Watetezi wa haki za wanayama wakiandamana kuonyesha hisia zao kufuatia kuuwawa kwa sokwe Harambe

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni