.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 31 Mei 2016

PAUL POGBA ATAMBULISHA AINA MPYA YA KUNYOA NYWELE KWA KUANDIKA KICHWANI MAANDISHI POGBOOM

Mshambuliaji Paul Pogba anayejulikana kwa staili zake za kunyoa nywele ameongeza aina nyingine ya kunyoa kwa kuandika kichwani maneno 'POGBOOM' ikiwa ni maalum kwa Michuano ya Ubingwa wa Ulaya.

Nyota huyo wa klabu ya Juventus amekuwa akizungumziwa mno kuweza kuwania tuzo ya mchezaji bora duniani katika miaka ijayo, ametambulisha staili yake hiyo jana wakati Ufaransa ikiifunga Cameroon kwa magoli 3-1 yeye akitumbukiza goli moja.
                                                             Paul Pogba akishangilia goli alilofunga 
                          Giroud ambaye naye alifunga goli wakipongezana na Paul Pogba

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni