.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 4 Juni 2016

PAPA FRANCIS ARIDHIA HATUA YA KUWATIMU MAASKOFU WATAKOWALINDA MAPADRI WADHALILISHAJI KINGONO WATOTO

Papa Francis ameridhia hatua za kuwatimu maaskofu ambao hawatosimamia vyema kesi za matukio ya udhalilishaji kingono watoto ndani ya dhehebu la Kanisa Katoliki.

Maaskofu ambao wataonyesha uzembe katika kushughulikia kesi za mapadri waliohusika na ukatili huo dhidi ya watoto, sasa wataondolewa chini ya taratibu mpya za sheria.

Sheria hiyo mpya imekuja wakati kukiwa na shinikizo kwa wahanga wa vitendo vya udhalilishaji watoto, wakitaka kuchukuliwa hatua kwa maaskofu wanaozembea kusimamia vyema ukatili huo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni