.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 6 Juni 2016

PENGINE HIZI NDIZO PICHA ZAKE ZA MWISHO ZA MUHAMMED ALI

Licha ya kukabiliwa na ugonjwa wa Parkinson kwa muda wa miaka 32 pamoja na kuwa na umri mkubwa bondia bora kuwahi kutokea dunani Muhammed Ali aliweza kukunja ngumi kuonyesha ushujaa wake.

Mpiga picha Muingereza Zenon Texeira alipata bahati ya kumpiga picha Muhammed Ali mwezi Machi mwaka huu, picha ambazo pengine ni za mwisho kupigwa bondia huyo kabla ya kifo chake siku ya jumamosi.
                                                         Muhammed Ali akiwa amepozi kwa picha
                                                   Muhammed Ali akiwa amevalia miuwani myeusi 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni