.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 6 Juni 2016

MANCHESTER UNITED KUMNASA MSHAMBULIAJI ZLATAN IBRAHIMOVIC JUMANNE ?

Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic amegusia uwezekano kutua Manchester United kwa kuwaambia mashabiki wa klabu hiyo tangazo kubwa litatolewa jumanne wiki hii.

Mshambuliaji huyo anatarajiwa kusaini mkataba wa mwaka mmoja Old Trafford wiki hii kabla ya kuanza michuano ya Euro 2016.

Ibrahimovic aliyechochea ushindi wa Sweden wa magoli 3-0 dhidi ya Wales atapatiwa muda wa kuwa nje ya majukumu yake ya kimataifa na kocha wa Sweden Erik Hamren wiki hii.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni