.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 6 Juni 2016

RAIS WA PHILIPPINES AWATAKA WANANCHI KUWAUWA KWA KUWAPIGA RISASI WAFANYABIASHARA WA DAWA ZA KULEVYA

Rais mteule wa Philippines, Rodrigo Duterte, amewahamasisha wananchi wa nchi hiyo kuwapiga risasi na kuwauwa wafanyabiashara wa dawa za kulevya na kukabiliana nao katika makazi yao.

Katika hotuba yake kwa njia ya televisheni jana rais huyo amewasihi wananchi kusaidia vita dhidi ya uhalifu, na ameahidi kuwapatia zawadi wale wote watakaoshiriki vita hiyo.

Kauli hiyo ya rais Duterte imeonekana kuungwa mkono na Meya moja ambaye ameipatia polisi zaidi ya paundi 2,000 kwa kuwauwa wasafirishaji dawa za kulevya.
                   Rais mteule wa Philippines Rodrigo Duterte kati kati akipiga Selfie

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni