.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 5 Juni 2016

WANANCHI WA JIJI LA ARUSHA KUNUFAIKA NA MIRADI YA OPEC

Mkuu wa mkoa wa Arusha,Felix Ntibenda(kushoto)akimkabidhi mmoja wa wakazi wa Mtaa wa Terrat Mlimani,Kata ya Murirt,jiji la Arusha Mbuzi ukiwa ni mpango wa serikali ikishirikiana na wadau wa maendeleo kunusuru kaya masikini .

Mkuu wa mkoa wa Arusha,Felix Ntibenda(kushoto)akimkabidhi mmoja wa wakazi wa Mtaa wa Terrat Mlimani,Kata ya Murirt,jiji la Arusha Mbuzi ukiwa ni mpango wa serikali ikishirikiana na wadau wa maendeleo kunusuru kaya
masikini .
Wakazi wa Kata ya Muriet jiji la Arusha wakimsikiliza Mkuu wa mkoa wa Arusha,Felix Ntibenda.
Mratibu wa Tasaf Jiji la Arusha,Tajiel Mahega akisoma taarifa kabla Kaya zilizotambuliwa kukabidhiwa rasmi.
Sehemu ya Kuku wa kienyeji waliokabidhiwa wananchi kutoka Kaya masikini.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni