.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 5 Juni 2016

WAFANYAKAZI WA HOSPITALI YA APOLLO INDIA MATATANI KWA BIASHARA YA FIGO

Polisi nchini India wamesema wamebaini biashara haramu ya figo za binadamu katika moja ya hospitali ya binafsi kubwa katika Jiji la Delhi.

Polisi wa nchi hiyo wamesema watu watano wamekamatwa hadi sasa, wakiwemo wafanyakazi wawili wa hospitali ya Apollo.

Watuhumiwa hao wanahisiwa kuwa wamekuwa wakiwashawishi watu masikini, kuuza figo zao kwa dola zipatazo 7,500, na kisha wao kuziuza kwa bei ya juu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni