.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 28 Januari 2017

TIMU YA CHELSEA YAIENDELEZA UBABE UINGEREZA KWA KUIBUKA NA USHINDI FA

Vinara wa Ligi Kuu ya Uingereza timu ya Chelsea imeitoa wapinzani wao wa London ya magharibi timu ya Brentford na kutinga hatua ya tano ya michuano ya kome la FA kwa ushindi wa magoli 4-0.

Chelsea ilifanya mabadiliko ya wachezaji tisa katika kikosi chake cha kwanza lakini walionekana kuwa bora zaidi kuliko wapinzani wao.

Chelsea ilipata goli lake la kwanza kupitia kwa Willian, kisha Pedro akafunga goli la pili katika kipindi cha kwanza, Ivanovic akafunga goli la tatu na Michy Batshuayi akafunga la nne kwa penati.
                                               Pedro akifunga goli la pili la Chelsea katika mchezo huo
               Michy Batshuayi akiruga juu kushangilia kufunga la nne kwa mkwaju wa penati

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni