.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 30 Januari 2017

WAZIRI MKUU AWASILI MKOANI DODOMA KWA AJILI YA VIKAO VYA BUNGE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasili mkoani Dodoma leo asubuhi kwa ajili kuhudhuria vikao vya bunge ambavyo vinatarajiwa kuanza kesho jumanne. 

Waziri mkuu ameongozana na mkewe Mary Majaliwa pamoja na viongozi mbalimbali ambao wametumia usafri wa ndege ya abiria ya ATCL inayo pitia Dodoma kuelekea Kigoma.

Katika uwanja wa ndege, Waziri Mkuu amepokelewa na mkuu wa mkoa wa Dodoma Jodan Rugimbana pamoja na viongozi wa serekali na chama wa mkoa wa Dodoma.

Hivi karibuni Waziri Mkuu alizindua safari za ndege ya ATCL kati ya Dodoma na Kigoma​

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni