.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 30 Januari 2017

WAKINA AYEW WAIPELEKA GHANA NUSU FAINALI AFCON

Ndugu wawili wa familia ya Ayew wa Ghana wamefunga goli kila mmoja katika ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya DRC Congo na kufanikiwa kutinga nusu fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika.

Mchezaji wa Aston Villa, Jordan Ayew alikuwa wa kwanza kufunga goli katika dakika ya 62 kwa shuti la kuzungusha katika dakika ya 62.

Paul-Jose M'Poku aliisawazishia DR Congo kwa koli kali la shuti la mbali, lakini mchezaji wa West Ham, Andre Ayew alifunga goli kwa mkwaju wa penati.
   Jordan Ayew akiachia shuti la kuzungusha lililojaa wavuni na kuipatia Ghana goli la kwanza
                                   Wachezaji wa Ghana wakishangilia goli kwa staili ya aina yake

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni