.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 15 Februari 2017

KOSTAS MITROGLOU AIPATIA BENFICA GOLI MOJA MUHIMU LIGI YA MABINGWA ULAYA

Kostas Mitroglou ameipatia Benfica goli moja katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Ulaya hatua ya 16 katika mchezo dhidi ya Borussia Dortmund.

Mitroglou alifunga goli hilo muhimu kwa mabingwa hao wa Ligi ya Ureno, kufuatia mpira wa kichwa uliopigwa na Luisao katika kipindi cha pili.

Mchezaji wa Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang, alipoteza nafasi ya kufunga pale mkwaju wake wa penati alioupiga kumlenga kipa Ederson.
          Kostas Mitroglou akishangilia kwa kukimbia baada ya kufunga goli pekee katika mchezo huo
                              Pierre-Emerick Aubameyang akipiga penati iliyomlenga kipa na kudakwa
                Sura ya kukosa penati: Pierre-Emerick Aubameyang akisikitika kukosa penati

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni