.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 16 Februari 2017

REAL MADRID YACHOMOA GOLI NA NA KUIBUKA NA USHINDI


Timu ya Real Madrid imetokea kufungwa goli moja nyuma na kufanikiwa kuifunga Napoli magoli 3-1 katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Ulaya hatua ya 16.

Wageni Napoli walipata goli la kuongoza baada ya kipa Keylor Navas kushtukizwa na shuti murwa lililopigwa na Lorenzo Insigne na kuandika goli ndani ya dakika nane.

Real Madrid ilisawazisha kupitia kwa Karim Benzema kwa mpira wa kichwa, huku Toni Kross akiongeza la pili kabla ya Casemiro kufunga goli la tatu.
                             Mpira uliopigwa kwa kichwa na Karim Benzema ukielekea golini
                                        Nyota Cristiano Ronaldo akipoteza nafasi nzuri ya kufunga
                      Kama sarakasi vile: Karim Benzema akiruka juu ya kipa Pepe Reina

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni