.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 17 Februari 2017

TIMU YA GENT YAISHANGAZA TOTTENHAM KWA KIPIGO

Matumaini ya Tottenham katika ligi ya Uropa yamepata pigo baada ya Jeremy Perbet kufunga goli pekee lililoipa Gent ushindi wa kushangaza katika mchezo wa wa kwanza wa hatua ya 32 bora.

Mshambuliaji huyo Mfaransa Perbet aliumiliki vyema mpira na kuutumbukiza kwenye kona ya goli na kumuacha kipa wa Tottenham Hugo Lloris akiuangalia.

Kikosi imara cha Tottenham kilicheza vibaya katika mchezo huo, licha ya jitihada za Harry Kane kuishia kugonga mwamba.
              Jeremy Perbet akiwa ameupiga mpira uliozaa goli pekee katika mchezo huo
                          Moussa Sissoko akianguka chini baada ya kujaribu kuunasa mpira

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni