.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 20 Aprili 2017

ANTHONY JOSHUA AENDELEA KUJIFUA KUMVAA WLADIMIR KLITSCHKO

Bondia Muingereza Anthony Joshua anaendelea kujifua kwa pambano lake la mwishoni mwa mwezi huu dhidi ya Wladimir Klitschko.

Pambano hilo limepangwa kufanyika Wembely Aprili 29, hata hivyo Joshua, anaamini pambano lake na Tyson Fury ndio litakuwa pambano kubwa kuliko la Klitschko.
                              Bondia Muingereza Anthony Joshua akifanya mazoezi ya shingo
                                      Bondia Muingereza Anthony Joshua akiendelea na mazoezi
                                  Bondia Anthony Joshua akifurahia jambo wakati wa mazoezi

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni