.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 20 Aprili 2017

SERENA WILLIAMS ABAINISHA KUWA ANAUJAUZITO WA WIKI 20

Mchezaji tenesi namba mbili kwa ubora duniani Serena Williams ni mjamzito na anatarajia kujifungua katika majira ya vuli.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 35 alituma picha yake kwenye Snapchat akiwa amesimama mbele ya kioo ikiwa na ujumbe usemao “Wiki ya 20” na kisha kuifuta posti hiyo.

Mwanadada huyo Mmarekani anashikilia rekodi ya kushinda Grand Slam 23 nchini Australia anatarajiwa kukosa msimu wote huu uliobakia.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni