.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 21 Aprili 2017

MARCUS RASHFORD AIPELEKA MAN U NUSU FAINALI LIGI YA UROPA

Goli la dakika za ziada lililofungwa na Marcus Rashford limeipeleka Manchester United katika nusu fainali ya Ligi ya Uropa na kuitoa Anderlecht katika mchezo uliofanyika Old Trafford.

Ligi hiyo ya Uropa ni muhimu kwa Manchester United na kocha Jose Mourinho anaitumia ligi hiyo kama uwezekano wa kuelekea Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Manchester United walikuwa wa kwanza kupata goli kupitia Henrikh Mkhitaryan katika dakika ya 10, lakini goli hilo likasawazishwa baadaye na Sofiane Hanni.
                                        Henrikh Mkhitaryan akiachia shuti lililozaa goli la kwanza
                       Sofiane Hanni akifunga goli pekee la Anderlecht katika mchezo huo
                              Zlatan Ibrahimovic akishikilia mguu wake baada ya kuumia goti 
             Marcos Rojo akiwa amebebwa kwenye machela baada ya kuumia na yeye 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni