.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 21 Aprili 2017

CELTA VIGO YAWASUKUMA NJE YA LIGI YA UROPA WAKINA MBWANA SAMATTA

Celta Vigo imetinga nusu fainali ya Ligi ya Uropa na kuitoa timu ya Mbwana Samatta ya Genk kwa ushindi wa magoli ya jumla 4-1, baada ya jana kutoka sare ya 1-1.

Celta Vigo ilikuwa ishapata ushindi wa magoli 3-2 katika mchezo wa awali dhidi ya Genk na kujiweka katika nafasi nzuri ya kusonga mbele.

Katika mchezo wa jana Pione Sisto alikuwa wa kwanza kuifungia goli Celta Vigo katika dakika ya 63 lakini Leandro Trossard alisawazisha dakika nne baadaye.
                     Pione Sisto akiachia shuti na kuifungia Celta Vigo goli katika mchezo huo
Leandro Trossard akishangilia baada ya kuifungia Genk goli la kusawazisha huku Mbwana Samatta akiangalia

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni