.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 21 Aprili 2017

POLISI NCHINI THAILAND YAMKAMATA MTU AKIVUSHA KIMAGENDO MBEGU ZA KIUME

Polisi nchini Thailand imemkamata mwanaume mmoja akijaribu kuingiza kwa njia za magendo vichupa sita vyenye mbegu za kiume za binadamu nchini Laos.

Mamlaka za Thailand zilibaini chupa kubwa ya gesi ya Nitrogeni kwenye begi la mtu huyo ikiwa na vichupa hivyo wakati akikatiza katika mji wa Kaskazini mwa Thailand wa Nong Khai.

Polisi wamesema mwanaume huyo amethibitisha kuwa vichupa hivyo vilikuwa na mgegu za kiuume kwa ajili ya Kiliniki ya tiba utungaji mimba Jijini Vientiane nchini Laos.

Mtuhumiwa huyo Nithinon Srithaniyanan, 25, alidakwa na polisi baada ya kumshuku kutokana na kuvuka mpaka mara kwa mara akiwa na begi kubwa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni