.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 3 Aprili 2017

MBABE JOHN CENA AMCHUMBIA MPENZI WAKE NIKKI BELLA ULINGONI

Mcheza mieleka nyota John Cena amepiga magoti jukwaani mbele ya watazamaji 70,000 akimuomba mpenzi wake Nikki Bella amkubaliye kuwa mchumba wake.

Tukio hilo limefanyika baada ya Cena na Bella kuwadunda maadui zao The Miz na Maryse, ambao ni wanandoa, katika pambano la mieleka la wawili wawili.

Cena mwenye miaka 39 alianza kwa kutoa mistari ya kumsifia Bella na kisha kupiga magoti ulingoni na kutoa kiboksi chenye pete ya uchumba.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni