.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 20 Aprili 2017

MONACO YAITOA BORUSSIA DORTMUND NA KUTINGA NUSU FAINALI UEFA

Monaco imetinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa mara ya kwanza 2004, baada ya kucheza mchezo safi wa marudiano dhidi ya Borussia Dortmund na kuibuka na ushindi wa magoli 3-1.

Monaco ikiwa na matokeo ya magoli 3-2 katika mchezo wa kwanza, ilipata goli lake la kwanza kupitia kwa kinda Kylian Mbappe na kisha baadaye Radamel Falcao akaongeza goli la pili.

Dortmund ilimuingiza mshambuliaji wake Ousmane Dembele na ilikuwa jitihada za mchezaji huyo mwenye miaka 19 zilizomfanya Marco Reus kufunga goli kabla ya Valere Germain kutupia la tatu.
                            Kinda Kylian Mbappe akifunga goli la kwanza katika mchezo huo 
                       Radamel Falcao akiifungia Monaco goli la pili kwa mpira wa kichwa

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni