.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 3 Aprili 2017

REAL MADRID WAONGOZA LIGI YA LA LIGA KWA TOFAUTI YA POINTI MBILI


Real Madrid wanaongoza ligi ya La Liga kwa tofauti ya pointi mbili, huku ikiwa imebakia michezo 10 baada ya kuifunga Alaves kwa magoli 3-0.

Karim Benzema alikifanya kikosi cha Zinedine Zidane kipate goli la kwanza baada ya kuunganisha pasi ya Dani Carvajal.

Deyverson na Edgar walipoteza nafasi za kuisawazisha goli Alaves kabla ya kufungwa tena magoli mawili katika dakika tatu.

Isco alifanya matokeo kuwa 2-0 kabla ya Nacho kuifungia Real Madrid goli la tatu kwa mpira wa kichwa kufuatia mpira wa adhabu uliopigwa na Gareth Bale.
                       Mfaransa Karim Benzema akiachia shuti na kufunga goli la kwanza
                                    Mchezaji Isco akishangilia baada ya kutumbukiza goli la pili

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni