Kamati ya Rufani za Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imetupa rufaa Saleh Saleh maarufu kama Ndonga aliyelalamikia kuhusu uamuzi wa Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) kadhalika kumlalamikia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho, Almas Kasongo akitaka ang’olewe kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi wa sasa.
Pia katika uamuzi wake huo Kamati ya Rufaa za Uchaguzi ya TFF, imesema kila upande ubebe gharama zake kwani rufaa hyo haina sababu za msingi za kusitisha mchakato wa usaili au kuweza kumuengua Kasongo katika kinyang’anyiro cha kugombea uongozi DRFA.
Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni