.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 11 Mei 2017

BENKI YA KILIMO YAOMBWA KUTOA MIKOPO ARUSHA

unnamed
Katibu Tawala Mkoa wa Mkoa wa Arusha, Bw. Richard Kwitega (kushoto) akimkaribisha Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo ya Tanzania (TADB), Bw. Francis Assenga (kulia) wakati walipomtembelea Ofisini kwake kuzungumzia fursa za uwekezaji mkoani Arusha.
A
Katibu Tawala Mkoa wa Mkoa wa Arusha, Bw. Richard Kwitega (katikati) akizungumza na ugeni kutoka TADB wakati walipomtembelea Ofisini kwake kuzungumzia fursa za uwekezaji mkoani Arusha. Ugeni uliongozwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Francis Assenga.
A 1
Katibu Tawala Mkoa wa Mkoa wa Arusha, Bw. Richard Kwitega akihimiza jambo wakati alipokuwa akizungumza na ugeni kutoka TADB wakati walipomtembelea Ofisini kwake kuzungumzia fursa za uwekezaji mkoani Arusha.
A 2
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), Bw. Francis Assenga (kushoto) akizungumza na Katibu Tawala Mkoa wa Mkoa wa Arusha, Bw. Richard Kwitega (hayupo pichani) wakati walipomtembelea Ofisini kwake kuzungumzia fursa za uwekezaji mkoani Arusha. Kulia ni Mkurugenzi wa Mikopo na Biashara wa TADB, Bw. Augustino Chacha.
A 3
Mkurugenzi wa Mikopo na Biashara wa TADB, Bw. Augustino Chacha (kulia) akizungumzia fursa za mikopo inayotolewa na Benki wakati akizungumza na Katibu Tawala Mkoa wa Mkoa wa Arusha, Bw. Richard Kwitega (hayupo pichani). Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), Bw. Francis Assenga.
A 4
Meneja wa Uendelezaji wa Biashara wa TADB, Bw. Geofrey Mtawa (kulia) akitoa takwimu za mahitaji ya mikopo ya mkoa wa Arusha. Kushoto ni Afisa Mwandamizi wa Uendelezaji wa Biashara wa TADB, Bw. George Nyamrunda.
A 5
Katibu Tawala Mkoa wa Mkoa wa Arusha, Bw. Richard Kwitega (kushoto) akimkabidhi muhtasari wa maeneo ya uwekezaji Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), Bw. Francis Assenga (kulia).

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni