.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 14 Mei 2017

KOCHA ANTONIO CONTE ASEMA TIMU YA CHELSEA ITAENDELEA KUIMARIKA ZAIDI

Kocha Antonio Conte amesema timu ya Chelsea itaendelea kuimarika zaidi baada ya kutwaa ubingwa Ligi Kuu ya Uingereza na itawabakisha wachezaji wake nyota.

Chelsea wamekuwa mabingwa wa Uingereza kwa mra ya sita, baada ya kupata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya West Brom siku ya Ijumaa.

Conte, 47, amekuwa akihusishwa na kuhamia Inter Milan, huku kukiwa na uvumi kuhusu mustakabali wa mshambuliaji Diego Costa na kiungo Eden Hazard.
                Kocha Antonio Conte akiwa na Kante na David Luiz wakishangilia ubingwa

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni