.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 14 Mei 2017

KOREA KASKAZINI YAFANYA JARIBIO LINGINE LA KOMBORA LA MASAFA MAREFU

Nchi ya Korea Kaskazini imefanya jaribio lingine la kombora la masafa marefu, siku chache tu baada rais mpya wa Korea ya Kusini kuingia madarakani.

Maafisa wa Japan wamesema kombora hilo lililorushwa kutokea kaskazini magharibi mwa Kusong lilifikia urefu wa kilomita 2,000.

Rais mpya wa Korea Kusini Moon Jae-in ambaye anataka kuwa na uhusiano mzuri na Korea Kaskazini amesema ni kitendo hicho ni uchokozi wa kizembe.

Rais wa Marekani Donald Trump ametoa wito wa kuwekewa vikwazo vikali dhidi ya Korea Kaskazini huku Chinia ikitaka nchi hiyo kudhibitiwa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni