.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 29 Mei 2017

POLISI KENYA WAMUUA MWANAMKE MWINGINE ANAYEDAIWA KUWA NI JAMBAZI

Polisi nchini Kenya imemuua kwa kumpiga risasi mwanamke mwingine anayeaminika kuwa ni rafiki ya mwanamke jambazi, Claire Njoki Mwaniki, maarufu kama Clea Adi Vybz.

Mtuhumiwa huyo anayejulikana kama Marsha Minaj, amepigwa risasi na kufa yeye na mwanaume aliyekuwa naye kwenye nyumba huku Migingo, eneo la Patanisho.

Kamanda wa Polisi wa Kaunti ya Nairobi, Japhet Koome amesema polisi walikuwa wakimtafuta mwanamke huyo pamoja na genge lao la ujambazi kwa muda sasa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni