.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 29 Mei 2017

TIGER WOODS AKAMATWA KWA KUENDESHA GARI HUKU AKIWA AMELEWA

Mchezaji nyota wa gofu Tiger Woods amekamatwa kwa makosa ya kuendesha huku akiwa amelewa huko Florida, Marekani leo majira ya asubuhi.

Polisi walimkamata Woods leo majira ya saa moja na nusu asubuhi kisha mchezaji huyo kuachiwa saa chache baadaye, kwa mujibu wa kituo cha polisi cha kaunti ya Palm Beach.

Woods mwenye miaka 41, amekuwa akipata nafuu baada ya kufanyiwa upasuaji wa mgongo, na alielezea juu ya kujisikia vyema Mei 24.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni