Mchezaji wa gofu Tiger Woods amesema
kukamatwa kwake akiwa anaendesha gari huko Florida hakuhusiani na
unywaji pombe.
Mchezaji huyo aliyefunguliwa
mashtaka ya kuendesha gari akiwa na amelewa, ametupia lawama dawa
alizokuwa akitumia kumfanya aonekane amelewa.
Woods amenukuliwa akisema anaelewa
ukubwa wa kosa linalomkabili na yupo tayari kuwajibika kutokana na
vitendo vyake.
Polisi jana walitoa picha ya Woods,
aliyeonekana kuwa rafu akiwa hajanyoa ndevu baada ya kuipiga
walipomkamata jana katika mji wa Jupiter.
Tiger Woods akiwa na mkewe aliyetengana naye Elin, hii ilikuwa mwaka 2009 kabla ya kutengana mwaka unaofuata
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni