.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 2 Juni 2017

MAKAMU WA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MH. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA BALOZI SEIF

Makamu wa Rais wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kulia akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi leo asubuhi Ofisini kwake Jijini Dar es salaam.

Viongozi hao wamekuwa na Utamaduni wa kawaida wa kukutana katika dhana nzima ya mfumo wa kuhudumia Wananchi katika utendaji na ushirikiano wa pamoja kati ya Serikali zote mbili ile ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akibadilishana mawazo na Makamu wa Rais wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Jijini Dar es salaam.

                                                                                            Picha na – OPMR – ZNZ.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni