.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 31 Agosti 2017

LIVERPOOL YAWAZIDI MAARIFA CHELSEA KWA ALEX OXLADE-CHAMBERLAIN

Mchezaji Alex Oxlade-Chamberlain amefanyiwa vipimo vya afya akiwa katika kambi ya Uingereza jana na atajiunga na Liverpool kwa ada ya paundi milioni 35 hii leo.

Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp amewazidi maarifa Chelsea na kumnasa mchezaji huyo wa Arsenal ikiwa ni wiki moja tangu Chelsea kufanya makubaliano na mchezaji huyo.
        Alex Oxlade-Chamberlain akiwa mazoezini katika kambi ya timu ya taifa ya Uingereza

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni