.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 19 Agosti 2017

TIMU YA ARSENAL YAZAMISHWA NA STOKE CITY

Arsenal imepata siku nyingine mbaya huko Staffordshire wakati Stoke City ikishinda goli 1-0 katika dimba la bet365, goli lililofungwa na mchezaji mpya Jese Rodriguez.

Mhispania Jese alifunga goli hilo katika kipindi cha pili ndani ya sekunde 90 baada ya kuinasa pasi ya Saido Berahino.

Arsenal ililiandama goli la Stoke City lakini walishindwa kusawazisha huku ikishuhudia goli lililofungwa na Alexandre Lacazette likikataliwa kwa kuotea.
        Monreal Petr Cech wakiangalia mpira uliopigwa na Jese Rodriguez ukitinga wavuni
         Alexandre Lacazette akiwa ameshikilia kichwa baada ya goli lake alilofunga kukataliwa

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni