.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 19 Agosti 2017

ZLATAN IBRAHIMOVIC AONYESHA KUWA AMEANZA KUPONA AKIJIRUSHA MAJINI KUTOKA KWENYE BOTI

Zlatan Ibrahimovic inaonekana ameanza kupona jeraha lake la goti alilopata baada ya kuonekana akiruka kutoka juu ya boti ya kifahari na kutumbukia majini akiwa Riviera Ufaransa.

Mchezaji huyo raia wa Sweden amekuwa akiharakisha kupona kwake akipitia kipindi cha kuimarisha zaidi mguu ulioumia, na ametumia kipindi hiki kuwa na familia yake huko Cannes.
                 Zlatan Ibrahimovic akiwa ameruka juu huku familia yake ikimuangalia
                 Zlatan Ibrahimovic  akiwa amechupa kuelekea majini katika kujiweka fiti 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni