.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 8 Oktoba 2017

ALEX IWOBI AIPELEKA NIGERIA FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA

Nigeria imefanikiwa kukata tiketi ya kufuzu michuano ya fainali ya kombe la dunia baada ya kupata ushindi dhidi ya Zambia.

Nigeria iliuanza mchezo huo ikijua kuwa ushindi utawafanya wakate tiketi ya michuano hiyo na alikuwa Alex Iwobi, aliyetokea benchi aliyewapatia ushindi.

Goli hilo lililofungwa na mchezaji huyo wa Arsenal katika dakika ya 73, baada ya mchezaji wa Chelsea Victor Moses na Abdullahi Shehu lkugongeana vyema.
                      Kocha wa Nigeria Gernot Rohr akirushwa juu kusherehekea ushindi

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni