.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 13 Oktoba 2017

GEORGE WEAH AONGOZA KATIKA KURA ZA URAIS LIBERIA

Matokeo ya awali ya urais Liberia yanaonyesha kuwa mchezaji wa zamani wa soka George Weah anaongoza mapema.

Takwimu za Tume za Taifa ya Uchaguzi (NEC) zinaonyesha Weah anaongoza katika kaunti 11 zilizohesabiwa kura kati ya kaunti 15.

Mpinzani wake mkuu, makamu wa rais aliyemadarakani Joseph Boakai, yupo katika nafasi ya pili. Mshindi anatakiwa kupata asilimia 50 za kura zote.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni