.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 13 Oktoba 2017

MWENYEKITI WA PARIS ST-GERMAIN NASSER AL-KHELAIFI ACHUNGUZWA

Waendesha mashtaka wa Uswizi wamefungua uchunguzi wa makosa ya uhalifu dhidi ta Mwenyekiti wa timu ya Paris St-Germain Nasser Al-Khelaifi.

Uchunguzi huo unahusiana na uchunguzi unaoendelea kuhusiana na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa) Jerome Valcke.

Makosa yanayochunguzwa yanahusika na mauzo ya haki za kombe la dunia kwa Bein Sports, ambayo Al-Khelaifi ni Mtendaji Mkuu wake.
                           Mwenyekiti wa PSG Al-Khelaifi akiwa na mchezaji Kylian Mbappe
                           Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa) Jerome Valcke

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni