.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 14 Oktoba 2017

MAJAMBAZI WAVAMIA SHULE KENYA NA KUUWA WANAFUNZI WATANO

Shule ya Sekondari ya Lokichogio AIC iliyopo Turkana nchini Kenya imeshambuliwa na majambazi ambao inasemekana wanatokea Sudani Kusini.

Katika tukio hilo linalodaiwa kumshirikisha mwanafunzi mmoja aliyesimamishwa masomo, jumla ya wanafunzi watano wameuwawa pamoja na mlinzi mmoja.

Majeruhi walionamajeraha madogo wametibiwa katika hospitali ya Lopiding iliyopo Lokichiogio na waliojeruhiwa vibaya wamepelekwa hospitali ya rufaa ya Lodwar.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni