.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 14 Oktoba 2017

MANCHESTER CITY YAIFUNGA 7 UP STOKE CITY

Kiungo Mbelgiji Kevin De Bruyne ametandaza kandanda safi wakati Manchester City ikiiangushia kipigo cha magoli 7-2 Stoke City.

Mchezaji huyo mwenye miaka 26 amesaidia kiufungwa magoli mawili na kutoa moja ya pasi bora ya msimu iliyozaa goli la pili la Manchester City.

Manchester City ilifunga magoli 3 kwa bila katika kipindi cha kwanza huku ikimiliki mpira kwa asilimia 83.5.

Magoli ya Manchester City yalifungwa na Jesus dakika ya 17 na 55, Sterling dakika ya 19, Silva dakika ya 27, Fernandinho dakika ya 60, Sané dakika ya 62, Bernardo Silva dakika ya 79.
                           Mbrazil Gabriel Jesus akifunga goli lake la pili katika mchezo huo 
                        Mjerumani Leroy Sane akishangilia baada ya kutumbukiza kimiani mpira 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni