.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 14 Oktoba 2017

WILFRED ZAHA AREJEA DIMBANI NA KUIZAMISHA CHELSEA

Crystal Palace imepata ushindi wa kwanza katika Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kufungwa mechi saba mfululizo baada ya kuibuka nyumbani na ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Chelsea.

Katika mchezo huo Chelsea walijikuta wakifungwa goli la kwanza kupitia jitihada za Yohan Cabaye, lakini goli hilo lilisawazishwa baadaye na Tiemoue Bakayoko.

Wilfred Zaha aliyerejea dimbani baada ya kupona kufuatia kuwa majeruhi kwa muda ndiye aliyelizamisha jahazi la mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu ya Uingereza.
          Wachezaji wa Chelsea wakishangilia baada ya Tiemoue Bakayoko kufunga goli 
   Mshambuliaji Wilfred Zaha akifunga goli la pili la Crystal Palace na kuizamisha Chelsea 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni