.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 13 Novemba 2017

CRISTIANO RONALDO AJALIWA MTOTO WA NNE

Nyota wa soka Cristiano Ronaldo amesherehekea kupata mtoto wa nne, ikiwa ni saa chache tu kupita tangu kuibuka ka tuhuma za kusaliti mahusiano yake.

Ronaldo, 32, amepandisha picha ya mpenzi wake Georgina Rodriquez, 22, akiwa amemkumbatia binti yake wakiwa na mtoto wake mkubwa wa kiume Cristiano Jr.

Ameandika kwenye ukurasa wake wa Instagram:'Alana Martina ndio amezaliwa muda si mrefu, wote Geo (mama) na Alana (mtoto) wanaendelea vizuri !. Tunafuraha kubwa'.
   Ronaldo akiwa na mpenzi wake pamoja na watoto wake wengine mapacha na kaka yao Cristian Jr

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni